iqna

IQNA

mwanamke katika uislamu
Sura za Qur'ani Tukufu / 4
TEHRAN (IQNA) – Nafasi ambayo mwanamke anayo katika jamii na familia ni miongoni mwa masuala muhimu katika Uislamu. Dalili ya umuhimu huu inaweza kuonekana katika Sura ya nne ya Qur'ani Tukufu kama ilivyowekwa wakfu kwa wanawake.
Habari ID: 3475355    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/09